SERIKALI YATOA TSH. BILIONI 6.7 KUKAMILISHA UJENZI VYUMBA VYA MADARASA JIJINI DODOMA

Na Barnabas Kisengi-Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma  Rosemary Senyamule, amefanya ziara ya kukagua ujenzi wa madarasa ya shule za sekondari unaendelea kujengwa jijini Dodoma.Madarasa hayo yanayojengwa kwa fedha zilizotolewa na Serikali kwa ajili ya kukidhi nafasi kwa wanafunzi wapya wa kidato cha kwanza wanaotarajia kuanza masomo yao mwakaka 2023. Mkoa wa Dododma Rosemary Senyamule